Utumishi Na Uchaji

Hali halisi katika jamii zetu inaonesha kwamba kuna vilio vya aina nyingi. Haipiti siku bila kusikia watu...
$22.60 SGD
$22.60 SGD
SKU: 9781986614436
Product Type: Books
Please hurry! Only 300 left in stock
Author: Rev Dr Gerson Mgaya
Format: Paperback
Language: Swahili
Subtotal: $22.60
10 customers are viewing this product
Utumishi Na Uchaji by Mgaya, Rev Dr Gerson

Utumishi Na Uchaji

$22.60

Utumishi Na Uchaji

$22.60
Author: Rev Dr Gerson Mgaya
Format: Paperback
Language: Swahili
Hali halisi katika jamii zetu inaonesha kwamba kuna vilio vya aina nyingi. Haipiti siku bila kusikia watu wakilaumu, wakinung'unika, na wengine wakilia hadi kutoa machozi. Ukifuatilia nini kinasababisha vilio hivyo, utasikia sababu nyingi. Lakini sababu mama, yaani sababu ile inayotawala na pengine kuzimeza sababu nyingine zote au kusababisha hizo nyingine ziwepo ni uongozi. Nisemapo uongozi, ninamaanisha watu wale waliopo kwenye nafasi za kuhakikisha au kusimamia mambo katika jamii ili yaende sawa sawa. Maana utasikia kiongozi fulani amewaonea watu, amewapendelea hawa na kuwanyima haki wale, ametumia mali ya taasisi bila kufuata utaratibu au ametumia kwa manufaa binafsi. Na kama ndiyo ameharibika zaidi, utasikia amejinufaisha kupitia watu anaowaongoza. Kwa lugha ya kidini, utasikia amekula kondoo. Kwa sababu ya mambo haya yote, jamii nyingi zimejawa na watu wenye makovu na majeraha yanayosababishwa na uongozi. Hivi ni kwa nini uongozi uliowekwa ili uisaidie jamii, badala ya kufanya hivyo, unaijeruhi jamii? Mwandishi wa kitabu hiki anajadili kuwa sababu kuu ya kiongozi (mtumishi) kusababisha maafa katika jamii anayoitumikia ni kukosekana kwa uchaji katika maisha yake. Maana mtumishi akishindwa kuwa mchaji atafanya makosa. Bila kujali ngazi yake yake, kosa la kiongozi lina harufu tofauti na makosa ya watu wa kawaida. Kwa hiyo, kwa njia ya kitabu hiki, mwandishi anatoa wito kwa watumishi na viongozi wa aina zote kujifunza maisha ya uchaji. Mwandishi anaonesha namna jamii inavyoweza kufaidika pale kiongozi au mtumishi anapokuwa mcha Mungu.

Author: Rev Dr Gerson Mgaya
Publisher: Createspace Independent Publishing Platform
Published: 03/18/2018
Pages: 208
Binding Type: Paperback
Weight: 0.46lbs
Size: 7.81h x 5.06w x 0.44d
ISBN: 9781986614436
Language: Swahili

This title is not returnable

Returns Policy

You may return most new, unopened items within 30 days of delivery for a full refund. We'll also pay the return shipping costs if the return is a result of our error (you received an incorrect or defective item, etc.).

You should expect to receive your refund within four weeks of giving your package to the return shipper, however, in many cases you will receive a refund more quickly. This time period includes the transit time for us to receive your return from the shipper (5 to 10 business days), the time it takes us to process your return once we receive it (3 to 5 business days), and the time it takes your bank to process our refund request (5 to 10 business days).

If you need to return an item, simply login to your account, view the order using the "Complete Orders" link under the My Account menu and click the Return Item(s) button. We'll notify you via e-mail of your refund once we've received and processed the returned item.

Shipping

We can ship to virtually any address in the world. Note that there are restrictions on some products, and some products cannot be shipped to international destinations.

When you place an order, we will estimate shipping and delivery dates for you based on the availability of your items and the shipping options you choose. Depending on the shipping provider you choose, shipping date estimates may appear on the shipping quotes page.

Please also note that the shipping rates for many items we sell are weight-based. The weight of any such item can be found on its detail page. To reflect the policies of the shipping companies we use, all weights will be rounded up to the next full pound.

Related Products

Recently Viewed Products